Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 17:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

31 Katika siku ile, aliye juu darini, na vyombo vyake ndani ya nyumba, asishuke illi kuvitwaa: nae aliomo shambani vivyo hivyo asirejee nyuma.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 “Siku hiyo, yeyote atakayekuwa juu ya paa asishuke kwenda nyumbani kuchukua mali yake. Kadhalika, naye atakayekuwa shambani asirudi nyuma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 “Siku hiyo, yeyote atakayekuwa juu ya paa asishuke kwenda nyumbani kuchukua mali yake. Kadhalika, naye atakayekuwa shambani asirudi nyuma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 “Siku hiyo, yeyote atakayekuwa juu ya paa asishuke kwenda nyumbani kuchukua mali yake. Kadhalika, naye atakayekuwa shambani asirudi nyuma.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Siku hiyo, mtu yeyote aliye juu ya dari ya nyumba yake, hata vitu vyake vikiwa ndani ya hiyo nyumba, asishuke kuvichukua. Vivyo hivyo mtu aliye shambani asirudi nyumbani kuchukua chochote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Siku hiyo, mtu yeyote aliye juu ya dari ya nyumba yake, hata vitu vyake vikiwa ndani ya hiyo nyumba, asishuke kuvichukua. Vivyo hivyo mtu aliye shambani asirudi nyumbani kuchukua chochote.

Tazama sura Nakili




Luka 17:31
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana atafaidiwa mtu nini akiupata ulimwengu wote, na kupata khasara ya roho yake? au mtu atatoa nini badala ya roho yake?


Kiva sababu hii nawaambieni, Msisumbukie maisha yenu, mleni au mnyweni; wala mwili wenu, mvaeni. Maisha je, si zaidi ya chakula, na mwili zaidi ya mavazi?


Ndipo walio katika Yahudi wakimbilie milimani, na walio katikati yake watoke waende zao, na walio shambani wasiuingie.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo