Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 17:25 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

25 Lakini kwanza hana buddi kupata mateso mengi, na kukataliwa na kizazi biki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Lakini kabla ya hayo, itambidi ateseke sana na kukataliwa na kizazi hiki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Lakini kabla ya hayo, itambidi ateseke sana na kukataliwa na kizazi hiki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Lakini kabla ya hayo, itambidi ateseke sana na kukataliwa na kizazi hiki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Lakini kwanza itampasa kuteseka katika mambo mengi na kukataliwa na kizazi hiki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Lakini kwanza itampasa kuteseka katika mambo mengi na kukataliwa na kizazi hiki.

Tazama sura Nakili




Luka 17:25
18 Marejeleo ya Msalaba  

Toka wakati huo Yesu akaanza kuwaonya wanafunzi wake ya kwamba imempasa kwenda Yerusalemi, na kuteswa mengi na wazee na makuhani wakuu, na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu kufufuka.


Yesu akawaambia, Hamkupata kusoma katika maandiko, Jiwe walilolikataa waashi, Hili lilikuwa jiwe kuu la pembeni; Neno hili limetoka kwa Bwana, Nalo ni ajabu machoni petu?


Angalieni, tunapanda kwenda Yerusalemi: na Mwana wa Adamu atatiwa mikononi mwa makuhani wakuu na waandishi,


Hatta andiko hili hamjalisoma? Jiwe walilokataa waashi Hili limekuwa jiwe kuu la pembeni.


Akaanza kuwafundisha kwamba imempasa Mwana wa Adamu kupata mateso mengi, na kukataliwa na wazee, na makuhani, wakuu na waandishi, na kuuawa, na baada ya siku tatu kufufuka.


Kwa sababu alikuwa akiwafundisha wanafunzi wake, akiwaambia ya kwamba Mwana wa Adamu anakwenda kutiwa katika mikono ya watu, nao watamwua; hatta akiisha kuuawa, baada ya siku tatu atafufuka.


Bassi, Yesu akawachukua wale thenashara akawaambia, Tazameni, tunapanda kwenda Yerusalemi, na yatatimizwa mambo yote aliyoandikiwa Mwana wa Adamu na manabii.


na wakiisha kumpiga mijeledi, watamwua; na siku ya tatu atafufuka.


Akawaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, na ndivyo ilivyompasa Kristo kuteswa, na kufufuka siku ya tatu;


Akawaagiza na kuwaamuru wasimwambie mtu neno hili, akisema, Imempasa Mwana wa Adamu kupata mateso mengi na kukataliwa na wazee na makuhani wakuu, na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu kufufuka.


Alikuja kwake, nao walio wake hawakumpokea.


illi litimizwe lile neno la nabii Isaya alilolisema, Bwana, nani aliyeziamini khabari zetu? Na mkono wa Bwana amefunuliwa nani?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo