Luka 17:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192120 Na alipoulizwa na Mafarisayo, Ufalme wa Mungu waja lini? akawajibu, akasema, Ufalme wa Mungu hauji kwa kupelelezwa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Wakati mmoja, Mafarisayo walimwuliza Yesu, “Ufalme wa Mungu utakuja lini?” Naye akawajibu, “Ufalme wa Mungu hauji kwa namna itakayoweza kuonekana. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Wakati mmoja, Mafarisayo walimwuliza Yesu, “Ufalme wa Mungu utakuja lini?” Naye akawajibu, “Ufalme wa Mungu hauji kwa namna itakayoweza kuonekana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Wakati mmoja, Mafarisayo walimwuliza Yesu, “Ufalme wa Mungu utakuja lini?” Naye akawajibu, “Ufalme wa Mungu hauji kwa namna itakayoweza kuonekana. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Isa alipoulizwa na Mafarisayo ufalme wa Mungu utakuja lini, yeye akawajibu, “Ufalme wa Mungu hauji kwa kuchunguza kwa bidii, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Isa alipoulizwa na Mafarisayo Ufalme wa Mwenyezi Mungu utakuja lini, yeye akawajibu, “Ufalme wa Mwenyezi Mungu hauji kwa kuchunguza kwa bidii, Tazama sura |