Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 17:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Hiawakupatikana waliorudi kumpa Mungu sifa zake, illa mgeni huyu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Hakupatikana mwingine aliyerudi kumtukuza Mungu ila tu huyu mgeni?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Hakupatikana mwingine aliyerudi kumtukuza Mungu ila tu huyu mgeni?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Hakupatikana mwingine aliyerudi kumtukuza Mungu ila tu huyu mgeni?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Hakuna hata mmoja aliyeonekana kurudi ili kumshukuru Mungu isipokuwa huyu mgeni?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Hakuna hata mmoja aliyeonekana kurudi ili kumshukuru Mungu isipokuwa huyu mgeni?”

Tazama sura Nakili




Luka 17:18
12 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho, na walio wa mwisho, wa kwanza.


Vivyo hivyo wa mwisho watakuwa wa kwanza, na wa kwanza wa mwisho: maana waitwao wengi, hali wateule wachache.


Yesu aliposikia haya, akastaajabu, akawaambia wale waliomfuata, Amin, nawaambieni, Sijaona imani kubwa kama hii, hatta katika Israeli.


bali wana wa ufalme watatupwa katika giza la nje; ndiko kutakuwa kilio na kusaga meno.


Makutano wakimwona, wakastaajabu, wakamtukuza Mungu, aliyewapa watu mamlaka ya jinsi hii.


Yesu akajiliu, akasema, Si wote kumi waliotakasika? Wale tissa wa wapi?


akasema kwa sauti kuu, Mcheni Mungu, kamtukuzeni, maana saa ya hukumu yake imekuja. Kamsujuduni yeye aliyezifanya mbingu na inchi na bahari na chemchemi za maji.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo