Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 17:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

17 Yesu akajiliu, akasema, Si wote kumi waliotakasika? Wale tissa wa wapi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Hapo Yesu akasema, “Je, si watu kumi walitakaswa? Wale tisa wako wapi?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Hapo Yesu akasema, “Je, si watu kumi walitakaswa? Wale tisa wako wapi?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Hapo Yesu akasema, “Je, si watu kumi walitakaswa? Wale tisa wako wapi?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Isa akauliza, “Je, hawakutakaswa wote kumi? Wako wapi wale wengine tisa?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Isa akauliza, “Je, hawakutakaswa wote kumi? Wako wapi wale wengine tisa?

Tazama sura Nakili




Luka 17:17
6 Marejeleo ya Msalaba  

akaanguka kufudifudi miguuni pake, akimshukuru; nae ni Msamaria.


Hiawakupatikana waliorudi kumpa Mungu sifa zake, illa mgeni huyu.


kwa sababu, walipomjua Mungu hawakumtukuza kama Mungu wala kumshukuru; bali walipotea katika uzushi wao, na mioyo yao yenye ujinga ikatiwa giza:


Tufuate:

Matangazo


Matangazo