Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 17:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 Alipowaona, akawaambia, Enendeni, mkajionyeshe kwa makuhani. Ikawa katika kwenda kwao wakatakasika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Alipowaona akawaambia, “Nendeni mkajioneshe kwa makuhani.” Basi, ikawa walipokuwa wanakwenda, wakatakasika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Alipowaona akawaambia, “Nendeni mkajioneshe kwa makuhani.” Basi, ikawa walipokuwa wanakwenda, wakatakasika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Alipowaona akawaambia, “Nendeni mkajioneshe kwa makuhani.” Basi, ikawa walipokuwa wanakwenda, wakatakasika.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Alipowaona akawaambia, “Nendeni mkajioneshe kwa makuhani.” Nao walipokuwa njiani wakienda, wakatakasika.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Alipowaona akawaambia, “Nendeni mkajionyeshe kwa makuhani.” Nao walipokuwa njiani wakienda, wakatakasika.

Tazama sura Nakili




Luka 17:14
11 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akajibu, akamwambia, Hayo yaache sasa: kwa kuwa hivi imetupasa kutimiza haki yote. Bassi akamwacha.


Akamwagiza asimwambie mtu: illa enenda, ukajionyeshe kwa kuhani, ukatoe kwa kutakasika kwako alivyoamuru Musa, illi kuwa ushuhuda kwao.


Bali akienda usiku, hujikwaa, kwa sababu nuru haimo ndani yake.


Mama yake akawaambia watumishi, Lo lote atakalowaambieni fanyeni.


akampaka kipofu macho kwa lile tope, akamwambia, Enenda, kanawe katika birika ya Siloam (tafsiri yake, Aliyetumwa). Bassi akaenda, akanawa, akarudi, anaona.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo