Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 16:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 Bassi akawaita wadeni wa bwana wake killa mmoja, akamwambia wa kwanza, Wawiwani na bwana wangu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Basi, akawaita wadeni wa bwana wake, mmojammoja, akamwambia yule wa kwanza: ‘Unadaiwa kiasi gani na bwana wangu?’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Basi, akawaita wadeni wa bwana wake, mmojammoja, akamwambia yule wa kwanza: ‘Unadaiwa kiasi gani na bwana wangu?’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Basi, akawaita wadeni wa bwana wake, mmojammoja, akamwambia yule wa kwanza: ‘Unadaiwa kiasi gani na bwana wangu?’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 “Kwa hiyo akawaita wadeni wote wa bwana wake, mmoja mmoja. Akamuuliza wa kwanza, ‘Deni lako kwa bwana wangu ni kiasi gani?’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 “Kwa hiyo akawaita wadeni wote wa bwana wake, mmoja mmoja. Akamuuliza wa kwanza, ‘Deni lako kwa bwana wangu ni kiasi gani?’

Tazama sura Nakili




Luka 16:5
6 Marejeleo ya Msalaba  

Alipoanza kuifanya, akaletewa mtu mmoja awiwae nae talanta elfu kumi.


Mtumishi yule akatoka, akamwona mmoja wa wajoli wake, aliyewiwa nae dinari mia; akamkamata, akamshika koo, akinena, Nilipe uwiwacho.


Utusamehe deni zetu, kama sisi tunavyowasamehe wadeni wetu.


Nimekwisha kujua nitakalotenda, illi, nitolewapo katika nwakili, wanikaribishe nyumbani mwao.


Akasema, Tanaki mia za mafuta. Akamwambia, Twaa khati yako; haya, kaa kitako, andika khamsini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo