Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 16:30 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

30 Akasema, La, baba Ibrahimu, lakini akienda kwao mmoja kutoka wafu watatubu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Lakini yeye akasema: ‘Sivyo babu Abrahamu, ila kama mtu atafufuka kutoka kwa wafu na kuwaendea, watatubu.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Lakini yeye akasema: ‘Sivyo babu Abrahamu, ila kama mtu atafufuka kutoka kwa wafu na kuwaendea, watatubu.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Lakini yeye akasema: ‘Sivyo babu Abrahamu, ila kama mtu atafufuka kutoka kwa wafu na kuwaendea, watatubu.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 “Yule tajiri akasema, ‘Hapana, baba Ibrahimu, lakini mtu kutoka kwa wafu akiwaendea, watatubu.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 “Yule tajiri akasema, ‘Hapana, baba Ibrahimu, lakini mtu kutoka kwa wafu akiwaendea, watatubu.’

Tazama sura Nakili




Luka 16:30
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nawaambieni sivyo: lakini msipotuhu nyote mtaangamia vivyo hivyo.


Nawaanibieni, Sivyo: lakini msipotubu, nyote mtaangamia vivyo hivyo.


Akalia, akasema, Baba Ibrahimu, unirehemu, umtume Lazaro, achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe ulimi wangu; kwa maana naumia katika moto huu.


Akamwambia, Wasiposikia Musa na manabii, ajapoondoka mtu katika wafu, hawatashawishwa.


Yesu akamwambia, Leo wokofu umefika nyumbani humu, kwa kuwa huyu nae ni mwana wa Ibrahimu.


Zaeni, bassi, matunda yapatanayo na toba wala msianze kusema ndani ya nafsi zenu, Tunae baba ndiye Ibrahimu; kwa maana nawaambieni, ya kwamba Mungu katika mawe haya aweza kumwinulia Ibrahimu watoto.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo