Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 16:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

20 Na maskini mmoja, jina lake Lazaro, hutupwa mlangoni pake, ana vidonda,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Na, mlangoni pa huyo tajiri kulikuwa na maskini mmoja jina lake Lazaro, ambaye alikuwa amejaa vidonda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Na, mlangoni pa huyo tajiri kulikuwa na maskini mmoja jina lake Lazaro, ambaye alikuwa amejaa vidonda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Na, mlangoni pa huyo tajiri kulikuwa na maskini mmoja jina lake Lazaro, ambaye alikuwa amejaa vidonda.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Hapo penye mlango wake aliishi maskini mmoja, jina lake Lazaro, mwenye vidonda mwili mzima.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Hapo penye mlango wake aliishi maskini mmoja, jina lake Lazaro, mwenye vidonda mwili mzima.

Tazama sura Nakili




Luka 16:20
14 Marejeleo ya Msalaba  

Alipotoka nje hatta ukumbini, mwanamke mwingine akamwona, akawaambia watu waliokuwa huko, Na huyu nae alikuwa pamoja na Yesu Mnazareti.


Palikuwa na mtu tajiri, aliyevaa porfuro na bafuta, akafanya furaha kilia siku na anasa.


akitamani kushibishwa na makombo yaliyoanguka katika meza ya yule tajiri: hatta mbwa nao huja, humramba vidonda vyake.


BASSI mtu mmoja alikuwa hawezi, Lazaro wa Bethania, mtu wa mji wa Mariamu na Martha dada yake.


Na mtu mmoja aliyekuwa kiwete toka tumboni mwa mama yake alichukuliwa na watu, wakamweka killa siku katika mlango wa hekalu nitwao Mzuri, illi aombe sadaka kwa watu waingiao ndani ya hekalu.


Lakini ndugu asiye na cheo afurahi kwa kuwa ametukuzwa;


Sikihzeni, ndugu niwapendao, Mungu hakuwachagua maskini wa dunia wawe matajiri wa imani na warithi wa ufalme aliowaahidia wampendao?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo