Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 16:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Killa amwachae mkewe na kumwoa mwingine, amezini; nae amwoae yeye aliyeachwa na mumewe azini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 “Yeyote anayempa mkewe talaka na kuoa mwingine, anazini; na yeyote anayemwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 “Yeyote anayempa mkewe talaka na kuoa mwingine, anazini; na yeyote anayemwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 “Yeyote anayempa mkewe talaka na kuoa mwingine, anazini; na yeyote anayemwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 “Mtu yeyote amwachaye mkewe na kumwoa mwanamke mwingine anazini, naye mwanaume amwoaye mwanamke aliyetalikiwa anazini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 “Mtu yeyote amwachaye mkewe na kumwoa mwanamke mwingine anazini, naye mwanaume amwoaye mwanamke aliyetalikiwa anazini.

Tazama sura Nakili




Luka 16:18
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nawaambia ninyi, Killa mtu atakaemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya asharati, akaoa mwingine, azini; nae amwoae yule aliyeachwa azini.


Palikuwa na mtu tajiri, aliyevaa porfuro na bafuta, akafanya furaha kilia siku na anasa.


Mke hana mamlaka juu ya mwili wake, bali mume wake; na vivyo hivyo mume hana mamlaka juu ya mwili wake, bali mke wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo