Luka 16:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192116 Torati na manabii zilikuwako mpaka Yohana. Tangu wakati ule, khabari njema ya ufalme wa Mungu inakhubiriwa, na killa mtu anauingia kwa nguvu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 “Sheria na maandishi ya manabii vilikuwako mpaka wakati wa Yohane Mbatizaji. Tangu hapo, ufalme wa Mungu unahubiriwa, na kila mmoja anauingia kwa nguvu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 “Sheria na maandishi ya manabii vilikuwako mpaka wakati wa Yohane Mbatizaji. Tangu hapo, ufalme wa Mungu unahubiriwa, na kila mmoja anauingia kwa nguvu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 “Sheria na maandishi ya manabii vilikuwako mpaka wakati wa Yohane Mbatizaji. Tangu hapo, ufalme wa Mungu unahubiriwa, na kila mmoja anauingia kwa nguvu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 “Torati na Manabii vilihubiriwa hadi kuja kwa Yahya. Tangu wakati huo Injili ya ufalme wa Mungu inahubiriwa, na kila mmoja hujiingiza kwa nguvu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 “Torati na Manabii vilihubiriwa mpaka kuja kwa Yahya. Tangu wakati huo habari njema za Ufalme wa Mwenyezi Mungu zinahubiriwa, na kila mmoja hujiingiza kwa nguvu. Tazama sura |