Luka 16:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192114 Mafarisayo nao wakayasikia haya yote, nao walikuwa wakipenda fedha; wakamdhihaki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Lakini Mafarisayo waliposikia hayo, kwa vile wao walikuwa wanapenda sana fedha, wakamdharau Yesu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Lakini Mafarisayo waliposikia hayo, kwa vile wao walikuwa wanapenda sana fedha, wakamdharau Yesu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Lakini Mafarisayo waliposikia hayo, kwa vile wao walikuwa wanapenda sana fedha, wakamdharau Yesu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Mafarisayo, waliokuwa wapenda fedha, waliyasikia hayo yote na wakamcheka kwa dharau. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Mafarisayo, waliokuwa wapenda fedha, waliyasikia hayo yote na wakamcheka kwa dharau. Tazama sura |