Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 16:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 Na ikiwa hamkuwa waaminifu katika mali ya mtu mwingine, nani atakaewapeni mali iliyo yenu wenyewe?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Na kama nyinyi si waaminifu kuhusu mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewakabidhi mali yenu wenyewe?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Na kama nyinyi si waaminifu kuhusu mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewakabidhi mali yenu wenyewe?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Na kama nyinyi si waaminifu kuhusu mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewakabidhi mali yenu wenyewe?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Nanyi kama hamkuwa waaminifu na mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewapa iliyo yenu wenyewe?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Nanyi kama hamkuwa waaminifu na mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewapa iliyo yenu wenyewe?

Tazama sura Nakili




Luka 16:12
11 Marejeleo ya Msalaba  

lakini kuna haja ya kitu kimoja tu, na Mariamu ameichagua sehemu iliyo njema, ambayo hataondolewa.


Bassi, ikiwa hamkuwa waaminifu katika mamona ya udhalimu, nani atakaewaaminisheni mali ya kweli?


Hakuna mtumishi awezae kuwatumikia bwana wawili: maana au atamchukia huyu, na kumpenda huyu; ama atashikamana na huyu, na kumdharau huyu. Hamwezi kumtumikia Mungu na Mamona.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo