Luka 16:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192111 Bassi, ikiwa hamkuwa waaminifu katika mamona ya udhalimu, nani atakaewaaminisheni mali ya kweli? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Kama basi, nyinyi si waaminifu kuhusu mali mbaya za dunia, ni nani atakayewakabidhi zile mali za kweli? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Kama basi, nyinyi si waaminifu kuhusu mali mbaya za dunia, ni nani atakayewakabidhi zile mali za kweli? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Kama basi, nyinyi si waaminifu kuhusu mali mbaya za dunia, ni nani atakayewakabidhi zile mali za kweli? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Ikiwa hamkuwa waaminifu katika mali ya kidunia, ni nani atakayewaaminia mali ya kweli? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Ikiwa hamkuwa waaminifu katika mali ya kidunia, ni nani atakayewaaminia mali ya kweli? Tazama sura |