Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 15:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 Bassi amwonapo humweka mabegani mwake, akifurahiwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Akimpata, atambeba mabegani kwa furaha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Akimpata, atambeba mabegani kwa furaha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Akimpata, atambeba mabegani kwa furaha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Naye akishampata, humbeba mabegani mwake kwa furaha

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Naye akishampata, humbeba mabegani mwake kwa furaha

Tazama sura Nakili




Luka 15:5
31 Marejeleo ya Msalaba  

Tena kufanya furaha na kuona furaha kulikuwa wajib, kwa maana huyu ndugu yako alikuwa amekufa, nae amefufuka: alikuwa amepotea, nae ameonekana.


Mtu gani wenu aliye na kondoo mia, akipotewa na mmoja, asiyewaacha wale tissa na tissaini jangwani, na kumwendea yule aliyepotea, hatta atakapomwona?


Nae akija kwake huwaila rafiki zake na jirani zake, huwaambia, Furahini pamoja nami, kwa maana nimemwona kondoo wangu aliyepotea.


Yesu akamwambia, Leo wokofu umefika nyumbani humu, kwa kuwa huyu nae ni mwana wa Ibrahimu.


Yesu akamwambia, Amin, nakuambia, leo utakuwa pamoja nami Peponi.


Haya nimewaambieni, illi furaha yangu iwe ndani yenu, na furaha yenu itimizwe.


Maana tu kazi yake, tuliumbwa katika Kristo Yesu, tutende matendo mema, ambayo Mungu aliyatengeneza tokea awali illi tuenende nayo.


ambayo nilifanywa mkhudumu wake, kwa kadiri ya kipawa cha neema yake Mungu niliyopewa kwa kadiri ya kutenda kazi kwa uweza wake.


kwamba injili yetu haikuwafikia katika maneno tu, bali na katika nguvu, na katika Roho Mtakatifu, na uthubutifu mwingi; kama mnavyojua jinsi zilivyokuwa tabia zetu kwenu, kwa ajili yenu.


wapate tena fahamu zao, na kutoka katika mtego wa Shetani, wamepatikana wahayi nae, hatta kuyafanya apendayo Mungu.


tukimtazama Yesu, aliveianzisha imani yetu na kuitimiliza; ambae kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele zake aliuvumilia msalaba na kuidharau aibu, nae ameketi mkono wa kuume wa kiti cha enzi cha Mungu.


mnaolindwa na nguvu za Mungu kwa njia ya imani mpate wokofu ulio tayari kufunuliwa wakati wa mwisho.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo