Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 15:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

31 Nae akamwambia, Mwanangu, wewe siku zote u pamoja nami, na vitu vyote nilivyo navyo ni vyako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Baba yake akamjibu: ‘Mwanangu, wewe uko pamoja nami siku zote, na kila nilicho nacho ni chako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Baba yake akamjibu: ‘Mwanangu, wewe uko pamoja nami siku zote, na kila nilicho nacho ni chako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Baba yake akamjibu: ‘Mwanangu, wewe uko pamoja nami siku zote, na kila nilicho nacho ni chako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 “Baba yake akamjibu, ‘Mwanangu, umekuwa nami siku zote na vyote nilivyo navyo ni vyako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 “Baba yake akamjibu, ‘Mwanangu, umekuwa nami siku zote na vyote nilivyo navyo ni vyako.

Tazama sura Nakili




Luka 15:31
9 Marejeleo ya Msalaba  

Bali alipokuja mwana wako huyo, aliyekula vitu vyako pamoja na makahaba, umemchinjia yeye ndama aliyenona.


Tena kufanya furaha na kuona furaha kulikuwa wajib, kwa maana huyu ndugu yako alikuwa amekufa, nae amefufuka: alikuwa amepotea, nae ameonekana.


Na mtumwa hakai ndani ya nyumba siku zote; mwana hukaa siku zote.


BASSI, nauliza. Mungu aliwasukumia mbali watu wake? Hasha! maana mimi nami ni Mwisraeli, mmoja wa wazao wa Ibrahimu, mtu wa kabila ya Benjamin.


Au ni nani aliyempa yeye kitu kwanza, nae atalipwa?


ambao ni Waisraeli, wenye kufanywa wana, wenye utukufu na maagano, wenye kupewa torati na ibada ya Mungu na ahadi zake; ambao mababu ni wao,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo