Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 15:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Akawaambia mfano huu, akisema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Yesu akawajibu kwa mfano:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Yesu akawajibu kwa mfano:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Yesu akawajibu kwa mfano:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Ndipo Isa akawaambia mfano huu:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Ndipo Isa akawaambia mfano huu:

Tazama sura Nakili




Luka 15:3
9 Marejeleo ya Msalaba  

afadhali shikeni njia kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.


Akasema nao mengi kwa mifano, akinena, Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu.


Lakini shikeni njia, mkajifunze maana yake maneno haya, Nataka rehema, wala si sadaka: kwa maana sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi wapate kutubu.


Mafarisayo na wandishi wakanungʼunika, wakasema, Huyu hukaribisha wenye dhambi, hula pamoja nao.


Mtu gani wenu aliye na kondoo mia, akipotewa na mmoja, asiyewaacha wale tissa na tissaini jangwani, na kumwendea yule aliyepotea, hatta atakapomwona?


Akamwambia marra ya pili, Simon wa Yohana, wanipenda? Akamwambia, Naam, Bwana; wewe wajua ya kuwa nakupenda. Akamwambia, Chunga kondoo zangu.


Nao waliposikia wakamhimidi Mungu, wakamwambia, Ndugu yetu, unaona kwamba Wayahudi walioamini walivyo elfu nyingi, nao wote wana wivu sana kwa ajili ya torati.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo