Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 15:27 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

27 Akamwambia, Ndugu yako amekuja: na baba yako amemchinja yule ndama aliyenona kwa sababu amempata yu mzima.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Huyo mtumishi akamwambia: ‘Ndugu yako amerudi nyumbani, na baba yako amemchinjia ndama mnono kwa kuwa amempata akiwa salama salimini.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Huyo mtumishi akamwambia: ‘Ndugu yako amerudi nyumbani, na baba yako amemchinjia ndama mnono kwa kuwa amempata akiwa salama salimini.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Huyo mtumishi akamwambia: ‘Ndugu yako amerudi nyumbani, na baba yako amemchinjia ndama mnono kwa kuwa amempata akiwa salama salimini.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Akamwambia, ‘Ndugu yako amekuja, naye baba yako amemchinjia ndama aliyenona kwa sababu mwanawe amerudi nyumbani akiwa salama na mzima.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Akamwambia, ‘Ndugu yako amekuja, naye baba yako amemchinjia ndama aliyenona kwa sababu mwanawe amerudi nyumbani akiwa salama na mzima.’

Tazama sura Nakili




Luka 15:27
8 Marejeleo ya Msalaba  

Akatuma tena watumishi wengine, akinena, Waambieni wale walioalikwa, Tʼazameni nimeandaa karamu yangu: ngʼombe na vinono vimekwisha kuehinjwa, na vyote vimekuwa tayari, njoni arusini.


Akamwita mmojawapo wa watumishi wake akamwuliza khabari, Mambo bayo, maana yake nini?


Akakasirika wala hakutaka kuingia: bassi, baba yake akatoka akamsihi.


Bali alipokuja mwana wako huyo, aliyekula vitu vyako pamoja na makahaba, umemchinjia yeye ndama aliyenona.


Nikamwinulia macho yangu saa ile ile.


Anania akaenda zake, akaingia mle nyumbani; akamwekea mikono akisema, Ndugu Saul, Bwana amenipeleka, Yesu, yeye aliyekutokea katika njia uliyoijia, upate kuona tena, ukajazwe Roho Mtakatifu.


tokea sasa, si kama mtumwa, baii lieha ya mtumwa, ndugu mpendwa, kwangu mimi sana, na kwako wewe zaidi sana, katika mwili na katika Bwana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo