Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 15:25 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

25 Bassi, yule mwanawe mkubwa alikuwa shamba, na alipokuwa akija na kuikaribia nyumba, akasikia sauti ya kuimba na kucheza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 “Wakati huo kaka yake alikuwa bado shambani. Alipokuwa akirudi na kukaribia nyumbani, akasikia vifijo na ngoma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 “Wakati huo kaka yake alikuwa bado shambani. Alipokuwa akirudi na kukaribia nyumbani, akasikia vifijo na ngoma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 “Wakati huo kaka yake alikuwa bado shambani. Alipokuwa akirudi na kukaribia nyumbani, akasikia vifijo na ngoma.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 “Wakati huo, yule mwana mkubwa alikuwa shambani. Alipokaribia nyumbani, akasikia sauti ya nyimbo na watu wakicheza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 “Wakati huo, yule mwana mkubwa alikuwa shambani. Alipokaribia nyumbani, akasikia sauti ya nyimbo na watu wakicheza.

Tazama sura Nakili




Luka 15:25
12 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa huyu mwanangu alikuwa amekufa, nae amefufuka: alikuwa amepotea, nae ameonekana. Wakaanza kufanya furaha.


Akamwita mmojawapo wa watumishi wake akamwuliza khabari, Mambo bayo, maana yake nini?


Wamefanana na watoto, waketio sokoni, wakiitana, wakisema, Tuliwapigia filimbi nanyi hamkucheza, tuliomboleza, nanyi hamkulia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo