Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 15:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

20 Akaondoka, akaenda kwa baba yake. Alipokuwa angali mbali, baba yake akamwona, akamhurumia, akapiga mbio, akamwangukia shingoni, akambusu sana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Basi, akaanza safari ya kurudi kwa baba yake. Alipokuwa bado yu mbali, baba yake alimwona, na kwa moyo wa huruma alimkimbilia, akamkumbatia na kumbusu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Basi, akaanza safari ya kurudi kwa baba yake. Alipokuwa bado yu mbali, baba yake alimwona, na kwa moyo wa huruma alimkimbilia, akamkumbatia na kumbusu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Basi, akaanza safari ya kurudi kwa baba yake. Alipokuwa bado yu mbali, baba yake alimwona, na kwa moyo wa huruma alimkimbilia, akamkumbatia na kumbusu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Basi akaondoka, akaenda kwa baba yake. “Lakini alipokuwa bado yuko mbali, baba yake akamwona, moyo wake ukajawa na huruma. Akamkimbilia mwanawe, akamkumbatia na kumbusu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Basi akaondoka, akaenda kwa baba yake. “Lakini alipokuwa bado yuko mbali, baba yake akamwona, moyo wake ukajawa na huruma. Akamkimbilia mwanawe, akamkumbatia na kumbusu.

Tazama sura Nakili




Luka 15:20
22 Marejeleo ya Msalaba  

unifanye kuwa kama mmojawapo wa watumishi wako.


Yule mwana akamwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako; sistahili baada ya hayo kuitwa mwana wako.


Kwa kuwa ahadi hii ni kwa ajili yenu, na watoto wenu, na watu wote walio mbali, na wote watakaoitwa na Bwana Mungu wetu.


Wakalia sana wote, wakamwangukia Paolo shingoni, wakambusu,


Lakini sasa, katika Kristo Yesu, ninyi mliokuwa mbali hapo kwanza, mmekuwa karibu kwa damu ya Kristo.


akaja, akakhubiri amani kwenu ninyi mliokuwa mbali, na kwao waliokuwa karibu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo