Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 15:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 unifanye kuwa kama mmojawapo wa watumishi wako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Sistahili hata kuitwa mwanao. Nifanye kama mmoja wa wafanyakazi wako.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Sistahili hata kuitwa mwanao. Nifanye kama mmoja wa wafanyakazi wako.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Sistahili hata kuitwa mwanao. Nifanye kama mmoja wa wafanyakazi wako.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Sistahili tena kuitwa mwanao; nifanye kama mmoja wa watumishi wako.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Sistahili tena kuitwa mwanao; nifanye kama mmoja wa watumishi wako.’

Tazama sura Nakili




Luka 15:19
13 Marejeleo ya Msalaba  

Nitaondoka, nitakwenda kwa baba yangu, nitamwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu, na mbele yako: sistahili kuitwa mwana wako baada ya hayo:


Akaondoka, akaenda kwa baba yake. Alipokuwa angali mbali, baba yake akamwona, akamhurumia, akapiga mbio, akamwangukia shingoni, akambusu sana.


Simon Petro alipoona haya, akaanguka magotini pa Yesu, akasema, Toka kwangu, kwa sababu mimi ni mtu mwenye dhambi, Bwana.


Maana mimi mdogo katika mitume, nisiyestahili kutajwa mtume, kwa sababu naliliudhi Kanisa la Mungu.


Bassi nyenyekeeni chini ya mkono wa Mungu ulio hodari, awakweze kwa wakati wake;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo