Luka 15:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192118 Nitaondoka, nitakwenda kwa baba yangu, nitamwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu, na mbele yako: sistahili kuitwa mwana wako baada ya hayo: Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Nitarudi kwa baba yangu na kumwambia: Baba, nimemkosea Mungu, na nimekukosea wewe pia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Nitarudi kwa baba yangu na kumwambia: Baba, nimemkosea Mungu, na nimekukosea wewe pia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Nitarudi kwa baba yangu na kumwambia: Baba, nimemkosea Mungu, na nimekukosea wewe pia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Nitaondoka na kurudi kwa baba yangu na kumwambia: Baba, nimetenda dhambi mbele za Mungu na mbele yako. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Nitaondoka na kurudi kwa baba yangu na kumwambia: Baba, nimetenda dhambi mbele za Mungu na mbele yako. Tazama sura |