Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 15:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

16 Akawa akitamani kujishihisha tumbo lake kwa maganda yale waliyokula nguruwe: wala hapana mtu aliyemna kitu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Alitamani kula maganda waliyokula wale nguruwe, ila hakuna mtu aliyempa kitu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Alitamani kula maganda waliyokula wale nguruwe, ila hakuna mtu aliyempa kitu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Alitamani kula maganda waliyokula wale nguruwe, ila hakuna mtu aliyempa kitu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Akatamani kujishibisha kwa maganda waliyokula wale nguruwe, wala hakuna mtu aliyempa chochote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Akatamani kujishibisha kwa maganda waliyokula wale nguruwe, wala hakuna mtu aliyempa chochote.

Tazama sura Nakili




Luka 15:16
13 Marejeleo ya Msalaba  

Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararueni.


Akaenda akashikamana na mmojawapo wa wenyeji wa inchi ile, nae akampeleka shambani kwake, kulisha nguruwe.


Hatta alipojirudia nafsi yake, akasema, Watumishi wa mshahara wangapi wa baba yangu wanakula chakula na kusaza, na mimi hapa ninakufa kwa njaa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo