Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 14:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

7 Akawaambia mfano wale waliokwitwa, alipoona jinsi walivyochagua viti vya kwanza; akiwaambia,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Yesu aliona jinsi wale walioalikwa walivyokuwa wanajichagulia nafasi za heshima, akawaambia mfano:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Yesu aliona jinsi wale walioalikwa walivyokuwa wanajichagulia nafasi za heshima, akawaambia mfano:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Yesu aliona jinsi wale walioalikwa walivyokuwa wanajichagulia nafasi za heshima, akawaambia mfano:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Alipoona jinsi wageni walivyokuwa wanachagua mahali pa heshima wakati wa kula, akawaambia mfano huu:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Alipoona jinsi wageni walivyokuwa wanachagua mahali pa heshima wakati wa kula, akawaambia mfano huu:

Tazama sura Nakili




Luka 14:7
12 Marejeleo ya Msalaba  

Haya yote Yesu aliwaambia makutano kwa mifano; na pasipo mfano hakuwaambia neno:


hupenda mahali pa mbele katika karamu, na viti vya mbele katika sunagogi,


Ole wenu, Mafarisayo, kwa sababu mwapenda kukaa mbele katika sunagogi na kusalimiwa masokoni.


Jihadharini na waandishi wapendao kutembea wamevaa mavazi marefu, na kusalimiwa masokoni, na kuketi mbele katika sunagogi, na mahali palipo mbele katika karamu.


Msitende neno lo lote kwa kushindana na kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu, killa mtu na amhesabu mwenziwe kuwa hora kuliko nafsi yake;


Naliliandikia kanisa, lakini Diotrefe apendae kuwa wa kwanza kati yao, hatukubali.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo