Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 14:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 Akajibu akawaambia, Nani wenu mwenye punda au ngʼombe ametumbukia kisimani, asiyemwondoa marra moja siku ya sabato?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Halafu akawaambia, “Ni nani kati yenu ambaye mtoto wake au ng'ombe wake akitumbukia shimoni, hangemtoa hata kama ni siku ya Sabato?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Halafu akawaambia, “Ni nani kati yenu ambaye mtoto wake au ng'ombe wake akitumbukia shimoni, hangemtoa hata kama ni siku ya Sabato?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Halafu akawaambia, “Ni nani kati yenu ambaye mtoto wake au ng'ombe wake akitumbukia shimoni, hangemtoa hata kama ni siku ya Sabato?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Kisha akawauliza, “Kama mmoja wenu angekuwa na mtoto au ng’ombe wake aliyetumbukia katika kisima siku ya Sabato, je, hamtamvuta mara moja na kumtoa?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Kisha akawauliza, “Kama mmoja wenu angekuwa na mtoto au ng’ombe wake aliyetumbukia katika kisima siku ya Sabato, je, hamtamvuta mara moja na kumtoa?”

Tazama sura Nakili




Luka 14:5
5 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi Bwana akamjibu, akasema, Ewe mnafiki, killa mmoja wenu je! hamfungui ngʼombe wake au punda wake mazizini siku ya sabato, akaenda nae kumnywesha?


Akamtwaa, akamponya, akamrukhusu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo