Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 14:35 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

35 Haiifai inchi wala jaa; watu huitupa nje. Mwenye masikio ya kusikilia, na asikie.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Haifai kitu wala kwa udongo wala kwa mbolea. Watu huitupilia mbali. Mwenye masikio na asikie!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Haifai kitu wala kwa udongo wala kwa mbolea. Watu huitupilia mbali. Mwenye masikio na asikie!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Haifai kitu wala kwa udongo wala kwa mbolea. Watu huitupilia mbali. Mwenye masikio na asikie!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Haifai ardhi wala kwa lundo la mbolea, bali hutupwa nje. “Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Haifai ardhi wala kwa lundo la mbolea, bali hutupwa nje. “Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.”

Tazama sura Nakili




Luka 14:35
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye masikio ya kusikilia, na asikie.


Mwenye masikio ya kusikilia, na asikie.


Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.


Akamjibu, akamwambia, Bwana, uache mwaka huu nao, hatta nikaupalilie, na kuusamadi:


Nyingine zikaanguka penye udongo mwema, zikamea, zikazaa mia mia. Alipokuwa akinena haya, akapaaza sauti yake, akisema, Mwenye masikio ya kusikilia, na asikie.


Yawekeni maneno haya masikioni mwenu: kwa maana Mwana wa Adamu anakwenda kutiwa katika mikono ya watu.


Mtu asipokaa ndani yangu, atupwa nje kama tawi, akauka; huyakusanya, huyatupa motoni, yakateketea.


Yeye aliye na sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindae hatapatikana na madhara ya mauti ya pili.


Yeye aliye na sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindae nitampa kula baadhi ya ile manna iliyofiehwa, nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina, jina asilolijua mtu illa yeye aliyepewa.


Yeye aliye na sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa.


Yeye alive na sikio, na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindae, nitampa kula matunda ya mti wa uzima ulio kati kati va bustani ya Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo