Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 14:33 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

33 Bassi, kadhalika killa mmoja wenu asiyeviacha vitu vyote alivyo navyo hawezi kuwa mwanafunzi wangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Vivyo hivyo, basi, hakuna hata mmoja wenu atakayekuwa mwanafunzi wangu kama asipoachilia kila kitu alicho nacho.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Vivyo hivyo, basi, hakuna hata mmoja wenu atakayekuwa mwanafunzi wangu kama asipoachilia kila kitu alicho nacho.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Vivyo hivyo, basi, hakuna hata mmoja wenu atakayekuwa mwanafunzi wangu kama asipoachilia kila kitu alicho nacho.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Vivyo hivyo, yeyote miongoni mwenu ambaye hawezi kuacha vyote alivyo navyo, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Vivyo hivyo, yeyote miongoni mwenu ambaye hawezi kuacha vyote alivyo navyo, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.

Tazama sura Nakili




Luka 14:33
12 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu akija kwangu, nae hamehukii baba yake, na mama yake, na mke wake, na wanawe, na ndugu zake wanaume na wanawake, na uzima wake pia, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.


Kama sivyo, hutuma ujumbe kutaka sharti za amani, yule mtu akiwa angali mbali.


Na walipoleta vyombo pwani, wakaacha vyote wakamfuata.


Akaacha vyote akaondoka akamfuata.


maana Dema aliniacha, akiupenda ulimwengu wa sasa, akasafiri kwenda Thessaloniki; Kreske Galatia, Tito Daimatia.


akihesabu ya kuwa kushutumiwa kwake Kristo ni utajiri mwingi kuliko hazina za Misri.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo