Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 14:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

31 Au mfalme gani, kama anakwenda kupigana na mfalme mwingine, asiyeketi kwanza na kufanya shauri kwamba yeye pamoja na watu elfu kumi ataweza kukutana nae anaemjia pamoja na watu elfu ishirini?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 “Au, ni mfalme gani ambaye akitaka kwenda kupigana na mfalme mwingine, hataketi kwanza na kufikiri kama ataweza, kwa askari wake10,000, kumkabili yule aliye na askari 20,000?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 “Au, ni mfalme gani ambaye akitaka kwenda kupigana na mfalme mwingine, hataketi kwanza na kufikiri kama ataweza, kwa askari wake10,000, kumkabili yule aliye na askari 20,000?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 “Au, ni mfalme gani ambaye akitaka kwenda kupigana na mfalme mwingine, hataketi kwanza na kufikiri kama ataweza, kwa askari wake10,000, kumkabili yule aliye na askari 20,000?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 “Au je, mfalme fulani akienda vita na mfalme mwingine, si yeye huketi chini kwanza na kufikiri: je, akiwa na jeshi la watu elfu kumi, ataweza kupigana na yule anayekuja na jeshi la watu elfu ishirini?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 “Au ni mfalme gani atokaye kwenda kupigana vita na mfalme mwingine, ambaye hakai chini kwanza na kufikiri iwapo akiwa na jeshi la watu 10,000 ataweza kupigana na yule anayekuja na jeshi la watu 20,000?

Tazama sura Nakili




Luka 14:31
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu huyu alianza kujenga, akawa hana nguvu za kumaliza.


Kama sivyo, hutuma ujumbe kutaka sharti za amani, yule mtu akiwa angali mbali.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo