Luka 14:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19213 Yesu akajibu akawaambia wana sharia na Mafarisayo, akisema, Je? ni halali kuponya siku ya sabato, ama sivyo? Wakanyamaza. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Yesu akawauliza waalimu wa sheria na Mafarisayo, “Je, ni halali au la kumponya mtu siku ya Sabato?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Yesu akawauliza waalimu wa sheria na Mafarisayo, “Je, ni halali au la kumponya mtu siku ya Sabato?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Yesu akawauliza waalimu wa sheria na Mafarisayo, “Je, ni halali au la kumponya mtu siku ya Sabato?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Isa akawauliza wale Mafarisayo na walimu wa Torati, “Je, ni halali kuponya watu siku ya Sabato au la?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Isa akawauliza wale Mafarisayo na walimu wa Torati, “Je, ni halali kuponya watu siku ya Sabato au la?” Tazama sura |