Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 14:27 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

27 Na mfu ye yote asiyechukua msalaba wake na kuja nyuma yangu, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata hawezi kuwa mwanafunzi wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata hawezi kuwa mwanafunzi wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata hawezi kuwa mwanafunzi wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Yeyote asiyeuchukua msalaba wake na kunifuata hawezi kuwa mwanafunzi wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Yeyote asiyeuchukua msalaba wake na kunifuata hawezi kuwa mwanafunzi wangu.

Tazama sura Nakili




Luka 14:27
12 Marejeleo ya Msalaba  

Nae asiyechukua msalaba wake na kufuata nyuma yangu, hanifai.


lakini hana mizizi udani yake, hukaa muda mchache; ikitukia shidda au udhia kwa sababu ya lile neno, marra huchukizwa.


Yesu akamkazia macho, akampenda, akamwambia, Umepungukiwa neno moja Enenda, ukauze ulivyo navyo vyote, uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni: ukiisha, njoo ukajitwike msalaba wako unifuate.


Wakamtumikisha mtu aliyekuwa akipita, Simon Mkurene, akitoka mashamba, baba wa Iskander na Rufo, auchukue msalaba wake.


Maana ni nani katika ninyi, kama akitaka kujenga mnara, asiyeketi kwanza na kuihesabu gharama kama ana vitu vya kuumaliza?


akatoka, akijichukulia msalaba wake, hatta mahali paitwapo pa kichwa, na kwa Kiebrania Golgotha;


wakifanya imara roho za wanafunzi na kuwaonya wakae katika imani, na ya kwamba imetupasa kuingia katika ufalme wa Mungu kwa njia ya shidda nyingi.


Kwa sababu hiyo nimepata mateso haya, wala sitahayariki: maana namjua yeye niliyemwamini, na kusadiki kwamba aweza kukilinda kile nilichakiweka amana kwake hatta siku ile.


Naam, na wote wapendao kuishi maisha ya ntawa katika Kristo Yesu wataudhiwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo