Luka 14:24 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192124 Maana nawaambieni ya kwamba katika watu wale walioalikwa hapana hatta mmoja atakaeionja karamu yangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Kwa maana, nawaambieni, hakuna hata mmoja wa wale walioalikwa atakayeonja karamu yangu.’” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Kwa maana, nawaambieni, hakuna hata mmoja wa wale walioalikwa atakayeonja karamu yangu.’” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Kwa maana, nawaambieni, hakuna hata mmoja wa wale walioalikwa atakayeonja karamu yangu.’” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Kwa maana nawaambia, hakuna hata mmoja wa wale walioalikwa atakayeionja karamu yangu.’ ” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Kwa maana nawaambia, hakuna hata mmoja wa wale walioalikwa atakayeionja karamu yangu.’ ” Tazama sura |