Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 14:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 Mwingine akasema, Nimenunua ngʼombe, jozi tano: naenda niwajaribu; nakuomba unisamehe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Mwingine akasema: ‘Nimenunua ng'ombe jozi tano wa kulima, sasa nimo njiani kwenda kuwajaribu; nakuomba uniwie radhi.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Mwingine akasema: ‘Nimenunua ng'ombe jozi tano wa kulima, sasa nimo njiani kwenda kuwajaribu; nakuomba uniwie radhi.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Mwingine akasema: ‘Nimenunua ng'ombe jozi tano wa kulima, sasa nimo njiani kwenda kuwajaribu; nakuomba uniwie radhi.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 “Mwingine akasema, ‘Ndipo tu nimenunua jozi tano za ng’ombe wa kulimia, nami ninaenda kuwajaribu, tafadhali niwie radhi.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 “Mwingine akasema, ‘Ndipo tu nimenunua jozi tano za ng’ombe wa kulimia, nami ninakwenda kuwajaribu, tafadhali niwie radhi.’

Tazama sura Nakili




Luka 14:19
2 Marejeleo ya Msalaba  

Wakaanza kutoa udhuru, wote pia kwa nia moja. Wa kwanza akamwambia, Nimenunua shamba, sina buddi kwenda na kulitazama; nakuomba, unisamehe.


Mwingine akasema, Nimeoa mke, na kwa sababu hii siwezi kuja.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo