Luka 14:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192117 akamtuma mtumishi wake saa ya karamu kwenda kuwaambia walioalikwa, Njoni, maana vitu vyote vimekwisha kuwa tayari. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Wakati wa karamu ulipofika alimtuma mtumishi wake akawaambie walioalikwa, ‘Njoni, kila kitu ni tayari.’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Wakati wa karamu ulipofika alimtuma mtumishi wake akawaambie walioalikwa, ‘Njoni, kila kitu ni tayari.’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Wakati wa karamu ulipofika alimtuma mtumishi wake akawaambie walioalikwa, ‘Njoni, kila kitu ni tayari.’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Wakati wa karamu ulipofika, akamtuma mtumishi wake akawaambie wale walioalikwa, ‘Karibuni, kila kitu ki tayari sasa.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Wakati wa karamu ulipofika, akamtuma mtumishi wake akawaambie wale walioalikwa, ‘Karibuni, kila kitu ki tayari sasa.’ Tazama sura |