Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 14:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Bali ufanyapo karamu, wakaribishe maskini, vilema, viwete, vipofu: nawe utakuwa kheri:

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Badala yake, unapofanya karamu, waalike maskini, vilema, viwete na vipofu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Badala yake, unapofanya karamu, waalike maskini, vilema, viwete na vipofu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Badala yake, unapofanya karamu, waalike maskini, vilema, viwete na vipofu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Bali unapoandaa karamu, waalike maskini, vilema, viwete na vipofu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Bali ufanyapo karamu, waalike maskini, vilema na vipofu,

Tazama sura Nakili




Luka 14:13
34 Marejeleo ya Msalaba  

Wakamwendea makutano mengi walio na viwete, vipofu, bubu, vilema, na wengine wengi pamoja nao, wakawaweka miguuni pa Yesu; akawaponya;


Watumishi wale wakatoka wakaingia njia kuu, wakakusanya wote waliowaona, waovu na wema: arusi ikajaa wageni.


Lakini toeni sadaka vile vya ndani, na tazama, vitu vyote ni safi kwemi.


Akamwambia na yule aliyemwalika, Ufanyapo chakula cha assubuhi au cha jioni, usiwaite rafiki zako, wala ndugu zako, wala jamaa zako, wala jirani zako walio na mali, wasije na wao wakakualika wewe, ukapata malipo.


kwa sababu hawana kitu cha kukulipa; maana utalipwa katika ufufuo wa wenye haki.


Yule mtumishi akaenda, akamwarifu Bwana wake mambo haya. Ndipo yule mwenye nyumba akaghadhabika, akamwambia mtumishi wake, Toka upesi ukaende njia kuu na vichochoro vya mji, ukalete hapa maskini, na vilema, na viwete, na vipofu.


Petro akaondoka akafuatana nao. Alipofika wakampeleka juu orofani: wajane wote wakasimama karibu nae, wakilia na kuniwonyesha zile kanzu na nguo alizozifanya Paa wakati ule alipokuwa pamoja nao.


Bassi imempasa askofu kuwa mtu asiyelaumiwa, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, mfundishaji;


na kushuhudiwa kwa matendo mema; ikiwa amelea watoto, ikiwa amekaribisha wageni, ikiwa amewaosha watakatifu miguu, ikiwa amewasaidia wateswao, ikiwa amefuata killa tendo jema.


bali awe mkaribishaji, mpenda wema, mwenye kiasi, mwenye haki, mtakatifu, mwenye kujimudu nafsi yake;


Maana tuna furaha na faraja kwa sababu ya upendo wako, kwa kuwa mioyo ya watakatifu lmeburudishwa nawe, ndugu.


Msisahau kuwafadhilia wageni; maana kwa njia hii wengine wamewakaribisha malaika pasipo kujua.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo