Luka 13:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192131 Siku ile ile baadhi ya Mafarisayo wakamwendea, wakamwambia, Ondoka hapa, ukaende zako: kwa maana Herode anataka kukuua. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Wakati huohuo, Mafarisayo na watu wengine walimwendea Yesu wakamwambia, “Ondoka hapa uende mahali pengine, kwa maana Herode anataka kukuua.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Wakati huohuo, Mafarisayo na watu wengine walimwendea Yesu wakamwambia, “Ondoka hapa uende mahali pengine, kwa maana Herode anataka kukuua.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Wakati huohuo, Mafarisayo na watu wengine walimwendea Yesu wakamwambia, “Ondoka hapa uende mahali pengine, kwa maana Herode anataka kukuua.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Wakati huo huo baadhi ya Mafarisayo wakamwendea Isa na kumwambia, “Ondoka hapa uende mahali pengine kwa maana Herode anataka kukuua.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Wakati huo huo baadhi ya Mafarisayo wakamwendea Isa na kumwambia, “Ondoka hapa uende mahali pengine kwa maana Herode anataka kukuua.” Tazama sura |