Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 13:23 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

23 Mtu mmoja akamwambia, Bwana, wao wanaookolewa ni wachaehe?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Mtu mmoja akamwuliza, “Je, Mwalimu, watu watakaookoka ni wachache?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Mtu mmoja akamwuliza, “Je, Mwalimu, watu watakaookoka ni wachache?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Mtu mmoja akamwuliza, “Je, Mwalimu, watu watakaookoka ni wachache?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Mtu mmoja akamuuliza, “Bwana Isa, ni watu wachache tu watakaookolewa?” Isa akawaambia,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Mtu mmoja akamuuliza, “Bwana Isa, ni watu wachache tu watakaookolewa?”

Tazama sura Nakili




Luka 13:23
12 Marejeleo ya Msalaba  

Wanafunzi wake waliposikia, wakashangaa sana, wakinena, Nani bassi awezae kuokoka?


Vivyo hivyo wa mwisho watakuwa wa kwanza, na wa kwanza wa mwisho: maana waitwao wengi, hali wateule wachache.


Kwa maana wengi waitwao, wateule wachache.


Bali njia ni nyembamba iendayo hatta uzima, na mlango wake ni mwembamba: nao waionao ni wachache.


Akawa akizungukazunguka katika miji ni vijiji, akifundisha, na kufanya safari kwenda Yerusalemi.


Akawaambia, Jitahidini kuingia katika mlango ulio mwembamba; kwa maana nawaambieni ya kwamba watu wengi watatafuta kuingia nao bawataweza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo