Luka 13:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192118 Bassi, akasema, Ufalme wa Mungu umefanana na nini? Na niufananishe na nini? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Yesu akauliza: “Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Nitaulinganisha na nini? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Yesu akauliza: “Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Nitaulinganisha na nini? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Yesu akauliza: “Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Nitaulinganisha na nini? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Kisha Isa akauliza, “Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Nitaufananisha na nini? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Kisha Isa akauliza, “Ufalme wa Mwenyezi Mungu unafanana na nini? Nitaufananisha na nini? Tazama sura |