Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 12:57 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

57 Na mbona ninyi katika nafsi zenu hamwamui yaliyo haki?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

57 “Na kwa nini hamwezi kujiamulia wenyewe jambo jema la kufanya?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

57 “Na kwa nini hamwezi kujiamulia wenyewe jambo jema la kufanya?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

57 “Na kwa nini hamwezi kujiamulia wenyewe jambo jema la kufanya?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

57 “Kwa nini hamwamui wenyewe lililo haki?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

57 “Kwa nini hamwamui wenyewe lililo haki?

Tazama sura Nakili




Luka 12:57
10 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akajibu, akawaambia, Amin, nawaambieni, Mkiwa na imani, msipokuwa na shaka, mtafanya si hilo la mtini tu, lakini hatta mkiuambia mlima huu, Ngʼoka, ukatupwe baharini, itatendeka.


Kwa sababu Yohana alikuja kwenu kwa njia ya haki, nanyi hamkumwamini; lakini watoza ushuru na makahaha walimwamini: nanyi mlipoona, hamkutuhu haada ya haya, na kumwamini.


iishapo kuchupua, mwaona na kutambua nafsini mwenu ya kwamba mavuno yameisha kuwa karibu.


Msihukumu hukumu ya macho, bali ifanyeni hukumu iliyo ya haki.


Akawashuhudia kwa maneno mengine mengi sana na kuwaonya, akisema, Jiokoeni na kizazi hiki chenye ukaidi.


Hukumuni ninyi wenyewe katika nafsi zenu. Je! inapendeza mwanamke amwombe Mungu asipofunikwa kichwa chake?


Je! sharia ya asili yenyewe haiwafundishi ya kwamba mwanamume akiwa na nywele ndefu ni aibu kwake;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo