Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 12:53 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

53 Baba wa mtu atafarakana na mwanawe, na mwana na baba yake, mama ya mtu na binti yake, na binti na mama yake, mkwe mtu na mkwewe, mkwe na mkwe mtu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

53 Baba atakuwa dhidi ya mwanawe, mwana dhidi ya baba yake; mama dhidi ya bintiye, binti dhidi ya mama yake; mamamkwe dhidi ya mke wa mwanawe na huyo dhidi ya mamamkwe wake.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

53 Baba atakuwa dhidi ya mwanawe, mwana dhidi ya baba yake; mama dhidi ya bintiye, binti dhidi ya mama yake; mamamkwe dhidi ya mke wa mwanawe na huyo dhidi ya mamamkwe wake.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

53 Baba atakuwa dhidi ya mwanawe, mwana dhidi ya baba yake; mama dhidi ya bintiye, binti dhidi ya mama yake; mamamkwe dhidi ya mke wa mwanawe na huyo dhidi ya mamamkwe wake.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

53 Watafarakana baba dhidi ya mwanawe na mwana dhidi ya babaye, mama dhidi ya bintiye na binti dhidi ya mamaye, naye mama mkwe dhidi ya mkwewe na mkwe dhidi ya mama mkwe wake.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

53 Watafarakana baba dhidi ya mwanawe na mwana dhidi ya babaye, mama dhidi ya bintiye na binti dhidi ya mamaye, naye mama mkwe dhidi ya mkwewe na mkwe dhidi ya mama mkwe wake.”

Tazama sura Nakili




Luka 12:53
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na baba yake, na binti na mama yake, na mkwe na mkwe mtu:


Ndipo wengi watajikwaa, na watasalitiana, na kuchukiana.


Kwa maana tangu sasa katika nyumba moja watakuwa watu watano wamefarakana, watatu na wawili, na wawili na watatu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo