Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 12:52 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

52 Kwa maana tangu sasa katika nyumba moja watakuwa watu watano wamefarakana, watatu na wawili, na wawili na watatu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

52 Na tangu sasa, jamaa ya watu watano itagawanyika; watatu dhidi ya wawili, na wawili dhidi ya watatu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

52 Na tangu sasa, jamaa ya watu watano itagawanyika; watatu dhidi ya wawili, na wawili dhidi ya watatu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

52 Na tangu sasa, jamaa ya watu watano itagawanyika; watatu dhidi ya wawili, na wawili dhidi ya watatu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

52 Kuanzia sasa, kutakuwa na watu watano katika nyumba moja, watatu dhidi ya wawili, na wawili dhidi ya watatu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

52 Kuanzia sasa, kutakuwa na watu watano katika nyumba moja, watatu dhidi ya wawili, na wawili dhidi ya watatu.

Tazama sura Nakili




Luka 12:52
12 Marejeleo ya Msalaba  

Je! wadhani kwamba nimekuja niipe dunia amani? Nawaambieni, Sivyo, bali mafarakano.


Baba wa mtu atafarakana na mwanawe, na mwana na baba yake, mama ya mtu na binti yake, na binti na mama yake, mkwe mtu na mkwewe, mkwe na mkwe mtu.


Watawaharamisha masunagogi: naam, saa inakuja, atakapodhani killa mtu awauae kuwa amtolea Mungu ibada.


Bassi baadhi ya Mafarisayo wakanena, Mtu huyu hakutoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki sabato. Wengine wakanena, Awezaje mtu mwenye dhambi kufanya ishara kama hizo?


Wengine waliamini yaliyonenwa, wengine hawakuyaamini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo