Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 12:38 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

38 Na akija kesha la pili au akija kesha la tatu, na kuwakuta hivi, wa kheri watumishi wale.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Hata kama atarudi usiku wa manane au alfajiri na kuwakuta wanakesha, heri yao watumishi hao!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Hata kama atarudi usiku wa manane au alfajiri na kuwakuta wanakesha, heri yao watumishi hao!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Hata kama atarudi usiku wa manane au alfajiri na kuwakuta wanakesha, heri yao watumishi hao!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Itakuwa heri kwa watumwa hao ikiwa bwana wao atakapokuja atawakuta wamekesha hata kama atakuja usiku wa manane, au karibu na mapambazuko.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Itakuwa heri kwa watumwa hao ikiwa bwana wao atakapokuja atawakuta wamekesha hata kama atakuja mnamo usiku wa manane, au karibu na mapambazuko.

Tazama sura Nakili




Luka 12:38
4 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini fahamuni neno hili; kama mwenye nyumba angalijua ile zamu mwivi atakayokuja, angalikesha, wala asingaliacha nyumba yake kuvunjwa.


Hatta usiku wa manane, pakawa na kelele, Haya, bwana arusi anakuja; tokeni kwenda kumlaki.


Lakini jueni haya ya kuwa mwenye nyumba angaliijua saa atakayokuja mwizi, angalikesha asiache nyumba yake kuvunjwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo