Luka 12:36 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192136 na ninyi kama watu wanaomngojea bwana wao, atakapoondoka arusini, illi akija na kubisha, wamfungulie marra moja. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema36 muwe kama watumishi wanaomngojea bwana wao arudi kutoka harusini, ili wamfungulie mara atakapobisha. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND36 muwe kama watumishi wanaomngojea bwana wao arudi kutoka harusini, ili wamfungulie mara atakapobisha. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza36 muwe kama watumishi wanaomngojea bwana wao arudi kutoka harusini, ili wamfungulie mara atakapobisha. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu36 kama watumishi wanaomngojea bwana wao arudi kutoka karamu ya arusi, ili ajapo na kubisha mlango waweze kumfungulia mara moja. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu36 kama watumishi wanaomngojea bwana wao arudi kutoka kwenye karamu ya arusi, ili ajapo na kubisha mlango waweze kumfungulia mara. Tazama sura |