Luka 12:32 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192132 Msiogope, enyi kundi dogo, kwa kuwa Baba yenu ameona vyema kuwapeni ufalme. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema32 “Msiogope, enyi kundi dogo! Maana Baba yenu amependa kuwapeni ufalme. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND32 “Msiogope, enyi kundi dogo! Maana Baba yenu amependa kuwapeni ufalme. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza32 “Msiogope, enyi kundi dogo! Maana Baba yenu amependa kuwapeni ufalme. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu32 “Msiogope enyi kundi dogo, kwa maana Baba yenu ameona vyema kuwapa ninyi ufalme. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu32 “Msiogope enyi kundi dogo, kwa maana Baba yenu ameona vyema kuwapa ninyi Ufalme. Tazama sura |