Luka 12:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19212 Lakini hakuna neno lililofunikwa ambalo halitafunuliwa khalafu, wala lililostirika ambalo halitajulika khalafu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Kila kilichofunikwa kitafunuliwa, kila kilichofichika kitafichuliwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Kila kilichofunikwa kitafunuliwa, kila kilichofichika kitafichuliwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Kila kilichofunikwa kitafunuliwa, kila kilichofichika kitafichuliwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Hakuna jambo lolote lililositirika ambalo halitafunuliwa, au lililofichwa ambalo halitajulikana. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Hakuna jambo lolote lililositirika ambalo halitafunuliwa, au lililofichwa ambalo halitajulikana. Tazama sura |