Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 12:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

2 Lakini hakuna neno lililofunikwa ambalo halitafunuliwa khalafu, wala lililostirika ambalo halitajulika khalafu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Kila kilichofunikwa kitafunuliwa, kila kilichofichika kitafichuliwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Kila kilichofunikwa kitafunuliwa, kila kilichofichika kitafichuliwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Kila kilichofunikwa kitafunuliwa, kila kilichofichika kitafichuliwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Hakuna jambo lolote lililositirika ambalo halitafunuliwa, au lililofichwa ambalo halitajulikana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Hakuna jambo lolote lililositirika ambalo halitafunuliwa, au lililofichwa ambalo halitajulikana.

Tazama sura Nakili




Luka 12:2
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana hakuna neno lililostirika, illa kusudi lije likadhihirika; wala halikuwa siri, illa kusudi lije likatokea dhahiri.


Kwa maana hakuna neno lililostirika ambalo halitakuwa dhabiri, wala neno lililofichwa ambalo halitajulikana, na kutokea wazi.


katika siku ile Mungu atakapozihukumu siri za wana Adamu, sawa sawa na injili yangu, kwa Yesu Kristo.


Bassi msihukumu neno kabla ya wakati wake, mpaka ajapo Bwana; nae atayamulika yaliyosetirika ya giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo killa mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.


Kwa maana imetupasa sisi sote kudhihirishwa mbele ya kiti cha hukumu ya Kristo, illi killa mtu apokee kadiri alivyotenda kwa mwili, vikiwa vyema au vikiwa vibaya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo