Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 12:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

16 Akawaambia mfano, akisema, Palikuwa na mtu tajiri, shamba lake likastawi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Kisha akawaambia mfano: “Kulikuwa na tajiri mmoja ambaye shamba lake lilizaa mavuno mengi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Kisha akawaambia mfano: “Kulikuwa na tajiri mmoja ambaye shamba lake lilizaa mavuno mengi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Kisha akawaambia mfano: “Kulikuwa na tajiri mmoja ambaye shamba lake lilizaa mavuno mengi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Kisha akawaambia mfano huu: “Shamba la mtu mmoja tajiri lilizaa sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Kisha akawaambia mfano huu: “Shamba la mtu mmoja tajiri lilizaa sana.

Tazama sura Nakili




Luka 12:16
13 Marejeleo ya Msalaba  

nyingine zikaanguka penye udongo mwema, zikazaa, hizi mia, hizi sittini, hizi thelathini.


illi mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni: maana yeye jua lake huwazushia waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.


Akawaambia, Angalieni, jilindeni na kutamani, maana uzima wa mtu hautoki katika mali zake, kwa sababu ana wingi wa mali.


Akaanza kuwaza moyoni, akisema, Nifanyeje, maana sina pa kuweka akiba mavuno yangu?


Illakini hakujiacha hana shahidi kwa kuwa alitenda mema akiwapeni mvua kutoka mbinguni, na nyakati za mavuno, akiwajaza mioyo yenu chakula na furaha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo