Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 12:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Mtu mmoja katika makutano akamwambia, Mwalimu, mwambie ndugu yangu anigawie urithi wetu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Mtu mmoja katika ule umati wa watu akamwambia, “Mwalimu, mwambie ndugu yangu tugawane urithi aliotuachia baba.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Mtu mmoja katika ule umati wa watu akamwambia, “Mwalimu, mwambie ndugu yangu tugawane urithi aliotuachia baba.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Mtu mmoja katika ule umati wa watu akamwambia, “Mwalimu, mwambie ndugu yangu tugawane urithi aliotuachia baba.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Mtu mmoja katika umati ule wa watu akamwambia Isa, “Mwalimu, mwambie ndugu yangu tugawane naye urithi wetu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Mtu mmoja katika umati wa watu akamwambia Isa, “Mwalimu, mwambie ndugu yangu tugawane naye urithi wetu.”

Tazama sura Nakili




Luka 12:13
7 Marejeleo ya Msalaba  

kwa kuwa Roho Mtakatifu atawafundisha saa hiyo hiyo yawapasavyo kuyanena.


Akamwambia, Ee mwana Adamu, nani aliyemweka kuwa kadhi au mgawanyi juu yenu?


Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa lililo jema: na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake hutoa lililo ovu: kwa sababu kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake.


na majadiliano ya watu walioharibiwa akili zao, walioikosa kweli, wakidhani ya kuwa utawa ni njia ya kupata faida; ujitenge na watu kama hao,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo