Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 12:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 kwa kuwa Roho Mtakatifu atawafundisha saa hiyo hiyo yawapasavyo kuyanena.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Kwa maana wakati huo Roho Mtakatifu atawafundisheni kile mnachopaswa kusema.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Kwa maana wakati huo Roho Mtakatifu atawafundisheni kile mnachopaswa kusema.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Kwa maana wakati huo Roho Mtakatifu atawafundisheni kile mnachopaswa kusema.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Kwa maana Roho wa Mungu atawafundisha wakati huo huo mnachopaswa kusema.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Kwa maana Roho wa Mwenyezi Mungu atawafundisha wakati huo huo mnachopaswa kusema.”

Tazama sura Nakili




Luka 12:12
11 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini hapo wakatapowapelekeni, msifikirifikiri jinsi mtakavyosema; maana mtapewa saa ile mtakayosema.


Kwa kuwa si ninyi msemao, bali Roho ya Baba yenu asemae ndani yenu.


Mtu mmoja katika makutano akamwambia, Mwalimu, mwambie ndugu yangu anigawie urithi wetu.


Kwa maana mimi nitawapeni kinywa na hekima, ambayo watesi wenu hawataweza kuikana wala kushindana nayo.


Ndipo Petro, akijaa Roho Mtakatifu, akawaambia,


lakini hawakuweza kushindana na hekima yake wala na Roho aliyosema nayo.


Nae akijaa Roho Mtakatifu, akakaza macho yake, akitazama mbinguni, akauona utukufu wa Mungu, na Yesu akisimama mkono wa kuume wa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo