Luka 12:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192110 Na killa mmoja atakaesema neno juu ya Mwana wa Adamu, atasamehewa, bali yeye aliyemtukana Roho Mtakatifu hatasamehewa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 “Yeyote anayesema neno la kumpinga Mwana wa Mtu atasamehewa; lakini anayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 “Yeyote anayesema neno la kumpinga Mwana wa Mtu atasamehewa; lakini anayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 “Yeyote anayesema neno la kumpinga Mwana wa Mtu atasamehewa; lakini anayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Naye kila atakayenena neno baya dhidi ya Mwana wa Adamu atasamehewa, lakini yeyote atakayemkufuru Roho Mtakatifu wa Mungu hatasamehewa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Naye kila atakayenena neno baya dhidi ya Mwana wa Adamu atasamehewa, lakini yeyote atakayemkufuru Roho wa Mwenyezi Mungu hatasamehewa. Tazama sura |