Luka 11:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19218 Nawaambieni, Ijapokuwa haondoki ampe kwa kuwa ni rafiki yake, illakini kwa kuwa yule hana haya ataondoka na kumpa yote ahitajiyo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Hakika, ingawa hataamka ampe kwa sababu yeye ni rafiki yake, lakini, kwa sababu ya huyo mtu kuendelea kumwomba, ataamka ampe chochote anachohitaji. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Hakika, ingawa hataamka ampe kwa sababu yeye ni rafiki yake, lakini, kwa sababu ya huyo mtu kuendelea kumwomba, ataamka ampe chochote anachohitaji. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Hakika, ingawa hataamka ampe kwa sababu yeye ni rafiki yake, lakini, kwa sababu ya huyo mtu kuendelea kumwomba, ataamka ampe chochote anachohitaji. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Nawaambia, ingawa huyo mtu hataamka na kumpa hiyo mikate kwa sababu ni rafiki yake, lakini kwa sababu ya kuendelea kwake kuomba, ataamka na kumpa kiasi anachohitaji. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Nawaambia, ingawa huyo mtu hataamka na kumpa hiyo mikate kwa sababu ni rafiki yake, lakini kwa sababu ya kuendelea kwake kuomba, ataamka na kumpa kiasi anachohitaji. Tazama sura |