Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 11:54 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

54 wakitaka kudaka neno kinywani mwake wapate kumshitaki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

54 ili wapate kumnasa kwa maneno yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

54 ili wapate kumnasa kwa maneno yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

54 ili wapate kumnasa kwa maneno yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

54 wakivizia kumkamata kwa kitu atakachosema ili wamshtaki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

54 wakivizia kumkamata kwa kitu atakachosema ili wamshtaki.

Tazama sura Nakili




Luka 11:54
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Mafarisayo wakaenda zao, wakafauya shauri, jinsi ya kumtega kwa maneno.


Lakini Yesu akaufahamu uovu wao, akasema, Mbona mnanijaribu, enyi wanafiki?


Mmoja wao, mwana sharia, akamwuliza, akimjaribu; akinena,


Wakatuma kwake baadhi ya Mafarisayo na Maherodiano, illi wamnase kwa maneno.


wakamvizia kuona kwamba atampotiya siku ya sabato: wapate kumshitaki.


Alipokuwa akiwaambia haya, waandishi na Mafarisayo wakaanza kumsonga vibaya, na kumchokoza kwa masiala mengi, wakimwotea,


Wakamvizia wakatuma wapelelezi, nao wakajifanya kuwa wenye haki, illi wamnase kwa neno lake, kusudi wamtie katika enzi na mamlaka ya liwali.


Wala hawakuweza kumshika kwa neno lake mbele ya watu: wakastaajabia jawabu lake, wakanyamaza.


kwa maana watu zaidi ya arubaini wanamwotea, wamejifunga kwa kiapo wasile wala wasinywe hatta watakapomwua; nao sasa wako tayari, wakiitazamia ahadi kwako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo